Rais Museveni ameapishwa kuongoza Uganda kwa muhula wa saba

#Museveni #Uganda #Bobiwine Nchini Uganda, rais Yoweri Museveni, ambaye amekuwa madarakani kwa miaka 40, ameapishwa tena kuongoza nchi hiyo kwa muhula mwin...

Rais Museveni ameapishwa kuongoza Uganda kwa muhula wa saba
RFI Kiswahili
814 views โ€ข May 13, 2026
Rais Museveni ameapishwa kuongoza Uganda kwa muhula wa saba

About this video

#Museveni #Uganda #Bobiwine

Nchini Uganda, rais Yoweri Museveni, ambaye amekuwa madarakani kwa miaka 40, ameapishwa tena kuongoza nchi hiyo kwa muhula mwingine wa miaka mitano baada ya kutangazwa mshindi wakati wa uchaguzi mkuu mwezi Januari.

Baada ya kuapishwa, rais Yoweri Museveni alizungumza kuhusu haja ya kuwa na miongozo mipya kupambana na umaskini na ufisadi ambao umekuwa changamoto wakati wa utawala wake.

Tags and Topics

Browse our collection to discover more content in these categories.

Video Information

Views

814

Likes

7

Duration

1:33

Published

May 13, 2026

Related Trending Topics

LIVE TRENDS

Related trending topics. Click any trend to explore more videos.