Mahakama ya Upeo Yazima Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba Kenya ✋

Mahakama ya Upeo imetupilia mbali mswada wa mabadiliko ya katiba kupitia 'Handshake', ikizima matumaini ya marekebisho ya kisiasa nchini Kenya. Majaji saba, sita wakiwa dhidi ya mabadiliko.

Mahakama ya Upeo Yazima Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba Kenya ✋
KTNPlus
10 views • Apr 1, 2022
Mahakama ya Upeo Yazima Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba Kenya ✋

About this video

Mahakama ya upeo imezima matumaini ya kuifanyia marekebisho katiba ya nchi kupitia mwafaka wa kisiasa maarufu kama 'Handshake'. Majaji sita kati ya saba hao, walitoa uamuzi kwamba Rais hawezi kuongoza shughuli ya kubadili katiba kutumia sheria ambayo ilitengewa mwananchi wa kawaida.

Video Information

Views

10

Duration

2:35

Published

Apr 1, 2022

Related Trending Topics

LIVE TRENDS

Related trending topics. Click any trend to explore more videos.