Spika Wa Bunge na Seneti Wangojea Uamuzi wa Mahakama Kuhusu Marekebisho ya Katiba 📜

Justin Muturi na Kenneth Lusaka wanangoja uamuzi wa mahakama kuhusu mchakato wa marekisho ya katiba na hatua za maridhiano, huku wakitazamia mustakabali wa kisiasa wa Kenya.

EbruTVKENYA21 views3:18

About this video

Spika Wa Bunge La Kitaifa Justin Muturi Na Mwenzake Wa Seneti Kenneth Lusaka Wanasubiri Uamuzi Wa Mahakama Kuhusu Mchakato Wa Maridhiano Na Kujenga Madaraja Nchini Bbi Baada Ya Kuzuia Rais Kutia Saini Mswada Wa Marekebisho Ya Katiba. Tayari Mabunge Yote Mawili Yamepitisha Mswada Huo Ambao Hatma Yake Inasalia Mikononi Mwa Rais. Hata Hivyo Hatua Hii Haitatekelezwa Hadi Pale Mbivu Na Mbichi Itajulikana Siku Ya Alhamisi Wakati Korti Itakapotoa Uamuzi. Mwanahabari Wetu Jeff Khaemba Na Taarifa Kamili//<br />

Video Information

Views
21

Total views since publication

Duration
3:18

Video length

Published
May 11, 2021

Release date

Related Trending Topics

LIVE TRENDS

This video may be related to current global trending topics. Click any trend to explore more videos about what's hot right now!

THIS VIDEO IS TRENDING!

This video is currently trending in Turkey under the topic 'g'.

Share This Video

SOCIAL SHARE

Share this video with your friends and followers across all major social platforms including X (Twitter), Facebook, Youtube, Pinterest, VKontakte, and Odnoklassniki. Help spread the word about great content!