ODM Wabunge Waanza Kujadili Mswada wa Marekebisho ya Katiba Kesho πŸ“œ

Chama cha ODM kimetoa mwelekeo kwa wanachama wao kuhusu mswada wa marekebisho ya katiba utakaojadiliwa kesho. Mwenyekiti John Mbadi amewataka wanachama kujiandaa kwa mabadiliko makubwa.

ODM Wabunge Waanza Kujadili Mswada wa Marekebisho ya Katiba Kesho πŸ“œ
EbruTVKENYA
1 views β€’ Apr 27, 2021
ODM Wabunge Waanza Kujadili Mswada wa Marekebisho ya Katiba Kesho πŸ“œ

About this video

Chama Cha ODM Kimetoa Mwelekeo Kwa Wanachama Wao Kuhusu Mswada Wa Marekebisho Wa Katiba Ambao Utajadiliwa Hapo Kesho.Mwenyekiti Wa Chama John Mbadi Amewataka Wabunge Wote Wa Chama Kuunga Mswada Huo Huku Akitoa Vitisho Kwa Wale Watakaokiuka Amri Watachukuliwa Hatua.Baadhi Ya Wabunge Akiwemo Timothy Wanyonyi Wa Westlands Na Mwenzake Wa Mvita Abdulswamad Sharrif Nassir Wameunga Pendekezo La Mbadi Kuchukua Hatua Moja Wakati Wa Kutegua Mtego Wa BBI

Video Information

Views

1

Duration

2:30

Published

Apr 27, 2021

Related Trending Topics

LIVE TRENDS

Related trending topics. Click any trend to explore more videos.