Trump Aelekea Beijing kwa Ziara rasmi πŸ‡¨πŸ‡³

Rais Donald Trump anaelekea Beijing kwa ziara rasmi, kuwa kiongozi wa kwanza wa Marekani kuzuru China kwa kipindi hicho.

Trump Aelekea Beijing kwa Ziara rasmi πŸ‡¨πŸ‡³
RFI Kiswahili
1.4K views β€’ May 13, 2026
Trump Aelekea Beijing kwa Ziara rasmi πŸ‡¨πŸ‡³

About this video

#usachina #iranwar #donaldtrump


Rais Donald Trump, ameelekea jijini Beijing, katika ziara ya kiserikali, akiwa kiongozi wa kwanza wa Marekani kuzuru nchi hiyo baada ya karibu miaka 10.

Ziara hii ilikuwa imepangwa kufanyika mapema, lakini ikacheleweshwa kwa sababu ya mashambulizi ya Marekani nchini Iran.

Wakati akianza safari yake, Trump amesema atakuwa na mazungumzo marefu na mwenyeji wake Xi Jinping akisisitiza kuwa Marekani haihitaji msaada wa China kuhusu vita vya Iran.

Tags and Topics

Browse our collection to discover more content in these categories.

Video Information

Views

1.4K

Likes

16

Duration

0:38

Published

May 13, 2026

User Reviews

4.3
(1)
Rate:

Related Trending Topics

LIVE TRENDS

Related trending topics. Click any trend to explore more videos.